Jinsi ya kutengeneza sambusa

Mahitaji

  • Nyama ya kusaga 1kg
  • Viungo (2tsp turmeric, 1 tbsp ginger powder, 2tbsp paprika powder, 2tbsp curry powder, 2tbsp meat flavour stock)
  • Vitunguu 2-3 vikubwa
  • Hoho 1
  • Thomu iliyosagwa 2tbsp
  • Carrot zilizokwanguliwa 250mg (grated carrots)
  • Manda za sambusa (spring roll pastry)
  • Mafuta ya kukaangia
  • parsley/coriander (dania)
  • Limau 2-3
  • Ngano ya kufungia manda

Jinsi ya kutengeneza

  • Weka mchanyiko wa nyama, viungo, thomu, juice ya limau  kwenye sufuria kubwa. Kisha bandika jikoni.
  • Kataka vitunguu, dania na hoho vipande vidogovidogo na vyembamba. Kisha visafishe, bila kusahau carrot zako. Zichuje vizuri.
  • Usisahau kuigeuza nyama yako. Onja km imeiva
  • Mimina mchanganyiko wa vitunguu kwenye nyama. Acha ichemke kwa dakika 5-10, kisha onja kama chumvi na viungo vipo sawa. Kama ndogo ongeza. kisha acha ichemke mpaka ukavu maji. Hakikisha imekauka. Kisha zima jiko. Acha ipoe
  • Weka ngano kwenye kibakuli, weka maji, koroga ilikupata mchanganyiko *gundi*
  • Funga manda zako, jaza sambusa. Bonyeza link hapo chini kama hujui jinsi ya kufunga sambusa.
  • Choma sambusa zako. Tayari Kula.
  • Unaweza kuchoma zote au ukahifadhi baadhi kwenye freezer.

How to fold Samosa (2 Ways) By Rubina Asif – YouTube

Leave a Reply

Please log in using one of these methods to post your comment:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s