Nawaletea kwenu mishono ya vitenge ya magauni marefu. Ni mishono mizuri mno kiasi ya kwamba najiuliza, ” je nikimpelekea fundi Ibrahim ataweza kunitolea kama hivi kweli? “😂😂
Rangi za vitenge nimezipenda pia.


















Nawaletea kwenu mishono ya vitenge ya magauni marefu. Ni mishono mizuri mno kiasi ya kwamba najiuliza, ” je nikimpelekea fundi Ibrahim ataweza kunitolea kama hivi kweli? “😂😂
Rangi za vitenge nimezipenda pia.
You must be logged in to post a comment.