
Nawatakia Eid njema kwa waisilamu wote, iwe unasherekea siku ya leo au kesho. Mwenyezimungu apokee funga zetu na atujaalie uhai tuione ramadhani nyengine, Ameen InShaa Allah. Kwa walioshindwa kufunga ramadhani hii, In Shaa Allah kheri mwakani panapo majaaliwa.
Eid Mubarak