Nawaletea part 2 ya mishono ya vitenge ya magauni marefu.


















Nawaletea part 2 ya mishono ya vitenge ya magauni marefu.
Nawaletea kwenu mishono ya vitenge ya magauni marefu. Ni mishono mizuri mno kiasi ya kwamba najiuliza, ” je nikimpelekea fundi Ibrahim ataweza kunitolea kama hivi kweli? “😂😂
Rangi za vitenge nimezipenda pia.
Beauty of this week is the lovely Elizabeth Lulu Michael a.k.a Shikana.
Have a productive week!!!
My beauty of this week, is the beautiful and amazing Jokate Mwegelo.
SIku hizi mafundi wa nguo wamekuwa wengi na washonaji hasahasa, ila pia kuna mafundi waharibifu. Mara nyingi tumekuwa tukiona watu wakipost picha instagram za mshono walotaka na jinsi fundi alivyowatolea.
Chanzo cha kuharibiwa nguo na fundi;
Picha zifuatazo ni baadhi ya mishono ya vitambaa aina tofauti tofauti. Kuna vya satin, cotton, chiffon na hata jeans.
Kwenye mada yetu ya leo ya mishono ya vitenge, tunawaletea style ya jumpsuits. Unaweza kushona kwa kutumia kitenge cha aina moja na kuna wengine kutumia vitenge viwili tofauti. Ukitumia vitenge viwili tofauti hakikisha rangi au design zinaendana kidogo.
Kama una mishono ungependa tuweke kwenye blog yetu, usisite kututumia kupitia email au Facebook yetu.
NB: email for credit/removal
You must be logged in to post a comment.