Ftari yetu ya leo tunatengeneza chapati za maji za hoho. Chapati zetu zitakuwa za chumvi maana ftari kuu zengine zote nazo ni za chumvi, kwahiyo na chapati zetu tutaweka chumvi. Ila kama unaweza kuchanganya chumvi na sukari, unaweza ukaweka sukari badala ya chumvi, ila hoho sikushauri kuweka kwenye chapati za maji za sukari, utaharibu ladha.
Mahitaji
Ngano nusu kilo
Maziwa 300ml
Maji 200ml
Hoho nusu
Chumvi kijiko kidogo nusu
Mafuta ya kukaangia
Jinsi ya kupika
Osha hoho, kisha ikate vipande vidogovidogo
Changanya vitu vyote, kama mchanganyiko mzito sana ongeza maji kidogo.
Nawaletea kwenu mishono ya vitenge ya magauni marefu. Ni mishono mizuri mno kiasi ya kwamba najiuliza, ” je nikimpelekea fundi Ibrahim ataweza kunitolea kama hivi kweli? “😂😂
Weka mchanyiko wa nyama, viungo, thomu, juice ya limau kwenye sufuria kubwa. Kisha bandika jikoni.
Kataka vitunguu, dania na hoho vipande vidogovidogo na vyembamba. Kisha visafishe, bila kusahau carrot zako. Zichuje vizuri.
Usisahau kuigeuza nyama yako. Onja kama imeiva
Mimina mchanganyiko wa vitunguu kwenye nyama. Acha ichemke kwa dakika 5-10, kisha onja kama chumvi na viungo vipo sawa. Kama ndogo ongeza. kisha acha ichemke mpaka ukavu maji. Hakikisha imekauka. Kisha zima jiko. Acha ipoe
Weka ngano kwenye kibakuli, weka maji, koroga ilikupata mchanganyiko *gundi*
Funga manda zako, jaza sambusa. Bonyeza link hapo chini kama hujui jinsi ya kufunga sambusa.
Choma sambusa zako. Tayari Kula.
Unaweza kuchoma zote au ukahifadhi baadhi kwenye freezer.
Asalaam aleikum warahmatullah wabarakatu, natumai swaum zinaendelea salama. Safari hii nimechelewa kupost mapishi ya iftar, kuna baadhi ya mapishi nataka nijaribu, nikiyapatia vizuri In shaa Allah nizipost. Ila kwa sasa hivi ntapost marudio ya mapishi ya ramadhani ya mwaka jana.
Mwenyezimungu abariki funga zetu na apokee swaum zetu. Ramadhan njema.
Mahitaji
Ndizi mzuzu kilo moja
Nazi 400ml
Maji 400ml
Iliki
Maandalizi
Menya, kata ndizi zako
Weka ndizi, nazi 200ml, maji 400ml na iliki kwenye sufuria, kisha bandika jikoni viive.
Angalia zisiive sana kiasi cha kumong’onyoka. Zikisha iva, zima jiko.
Jinsi ya kutengeneza tui la kupaka
Mahitaji
Nazi 200ml
Ngano kijiko kidogo nusu (hii unatumia kama tui lako ni jepesi mno)
Maandalizi
Chemsha tui lako kwenye kisufuria kidogo. Likianza kuchemka, koroga taratibu hadi liive ili tui lisikatike.
Tui lako litakuwa tayari kama likiwa zito na linatoa mapovu wakati likichemka.
Ikiwa tui lako ni jepesi na haliwi zito, changanya ngano na maji vijiko vikubwa vitatu, kisha mimina taratibu kwenye tui lako. Usimimine lote kwa wakati mmoja, likianza kuwa zito, acha lichemke mpk liive.
Changanya tui lako na ndizi kwa kutumia kijiko. Fanya hivi taratibu kuepusha ndizi kumong’onyoka.
Nawatakia heri ya mwaka mpya. Nashkuru mwenyezimungu kwa kutuwezesha kuuona mwaka mpya tukiwa wazima na wenye afya. Kwa wale walotangulia mbele za haki, mwenyezimungu awape kaul thabeet na kwa walio wagonjwa tunawaombea na In Shaa Allah mtapona.
Leo nawaletea tena aina ya misuko ya nywele, safari hii ni style ya minyoosho size ya kati. Enjoy!!!
Boil your pasta according to the instuctions on de packaging. I changed a thing or two e.g the amount of water + cooking time. I used 3.5L of water and I let it simmer for 20 – 30min. Don’t forget to stir occasionally. Once pasta is done, drain well.
Cut your vegetables + mozzarella
Carrots
Zucchini
Onions & bell pepper
Mozzarella
Add 2tbs of olive oil in a wok pan and wok your vegetables for 3 – 5min. Make sure they are not overdone. You can wok the zucchini separately (they take extra min to be done).
Set the vegatables aside
Wok your marinated chicken untill their is no water
Heat a sausepan with 2tbs of olive oil
Add ginger garlic paste, the vegetable you wok and let it simmer for 2 – 3min (medium heat)
Add tomato sauce, pesto rosso and let it simmer for 5min on low heat. Sir occationally.
Add coconut cream and 400ml water. Let it simmer for 3min
Yummy
Add chicken and the spices
Add 1L of water, mozzarella and the grated cheese. Stir carefully and let it simmer for 3 – 5min.
Add pasta, stir it well. If its too thick, add more water.
Let it simmer on low heat for 5min.
Add chopped persely for garnish and your dinner is ready to serve.
You must be logged in to post a comment.