Leo tunaendelea na sehemu ya pili ya mishono ya vitambaa. Mishono ya leo ni ya jumpsuits.
Tag: fashion
Mishono ya vitambaa
SIku hizi mafundi wa nguo wamekuwa wengi na washonaji hasahasa, ila pia kuna mafundi waharibifu. Mara nyingi tumekuwa tukiona watu wakipost picha instagram za mshono walotaka na jinsi fundi alivyowatolea.
Chanzo cha kuharibiwa nguo na fundi;
- Material ya kitambaa ulichopeleka sicho cha alichosonea picha ulomuonesha fundi wako
- Ubahili. Badala ya kuenda kwa fundi unajua atakushonea vizuri, ila kwa kuwa hutaki pesa nyingi upo radhi uende kwa “ibrahim” ambae atakushonea kwa bei rahisi.
- Tamaa: kuna baadhi ya washonaji wana tamaa sana, badala waseme wazi kwamba huu mshono hawauwezi, wanakubali kukushonea huku wakijua watakuharibia.
- Maumbile ya mtu: kuna mishono mengine ukiona nguo kavaa mtu mwembamba, mtu mnene/ umbo namba 8 haiwezi kumpendeza na baadhi ya mishono inawapendeza watu wanene/umbo namba 8. Mfano ni nguo yenye mshono wa nguva, mtu mwembamba hampendezi.
Picha zifuatazo ni baadhi ya mishono ya vitambaa aina tofauti tofauti. Kuna vya satin, cotton, chiffon na hata jeans.
Mishono ya vitenge
Baadhi ya style ya skirts za mishono ya vitenge .
African Prints
Baadhi ya mishono ya vitenge kwa watoto. Mzazi unaweza pia kushona sare na mwanao. Enjoy
Beauty of the week
Our beauty of the week, is nobody else but Elizabeth Lulu Micheal. Look How beautiful she is .. The dress, purse, hair, her smile.. Everything is perfect
You must be logged in to post a comment.