Nawatakia heri ya mwaka mpya. Nashkuru mwenyezimungu kwa kutuwezesha kuuona mwaka mpya tukiwa wazima na wenye afya. Kwa wale walotangulia mbele za haki, mwenyezimungu awape kaul thabeet na kwa walio wagonjwa tunawaombea na In Shaa Allah mtapona.
Leo nawaletea tena aina ya misuko ya nywele, safari hii ni style ya minyoosho size ya kati. Enjoy!!!






























NB: email for credit/removal
You must be logged in to post a comment.